×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waziri Mwangi Kiunjuri ameagiza kufanyika kwa uchunguzi kuhusu sakata ya uuzaji wa mahindi

23rd May, 2018

Waziri wa  Kilimo  Mwangi Kiunjuri ameagiza kufanyika kwa uchunguzi  kuhusu sakata ya uuzaji wa mahindi  katika mabohari ya NCPB . Kiunjuri amesema kuwa wakulima wanaodai fedha kutoka kwa serikali watachunguzwa na kulipwa hela zao.  Kulingna na waziri  kumekuwepo ulaghai katika  bodi ya nafaka ambapo maafisa wamekuwa wakinunua  mahindi kutoka kwengine na wala sio kwa wakulima nchini . Uchunguzi ungali unafanywa kuhusiana na sakata hiyo baada ya afisaa mkuu mtendaji wa NCPD  kujiuzulu   na mameneja watano kuachishwa kazi .

.
RELATED VIDEOS