×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Suala Nyeti: Kilimo cha Mpunga

22nd May, 2018

Viwanda vya mchele katika eneo la Mwea katika kaunti ya Kirinyaga wamejenga mabohari maalum ya kuhifadhi mchele ili kuhakikisha ubora wa mchele katika  eneo hilo. Wakulima wa mchele sasa watakuwa wakiweka mchele kwa mabohari hayo bila malipo. Kulingana na wenye viwanda, ubora wa mchele umekuwa ukiathiriika wakati ambapo wakulima wamekuwa wakiuza mchele kwa madalali wanaouchanganya mchele wa pishori na aina nyengine 

.
RELATED VIDEOS