.
21st May, 2018
Mwalimu mmoja katika shule ya upili mjini Kisumu amefikishwa mahakamani kwa madai ya dhulma za kimapenzi. Christine Brenda Awino alifikishwa mbele ya mahakama ya Maseno ambapo alikanusha mashtaka ya kuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanafunzi wa kike katika shule hiyo.