21st May, 2018
Bodi ya halmashauri ya uthibiti wa idara ya polisi IPOA hii leo imepokeza ripoti ya utendakazi katika hatamu yake kuanzia mwaka 2012. Muda wa maafisa wasimamizi wa IPOA umekamilika ila maswali yameibuka kuhusu kuchelewa kwa maafisa wapya kuajiriwa. Waziri wa msuala ya ndani Dkt. Fred Matiangi amehudhuria kikao hicho.