18th May, 2018
Shirikisho la raga nchini limeomba msaada wa kifedha kutoka kwa serikali na mashirika ili kuziwezesha timu za taifa kujiandaa na kushiriki michuano mbali mbali. KRU inahitaji takriban shilingi milioni 300 kwa mwaka kufanikisha shughuli zake.