Mudavadi aonya kwamba serikali inapanga kuwatumbukiza Wakenya kwenye umaskini kupitia utozaji ushuru
18th May, 2018
Kiongozi wa chama cha Amani National congress, ANC, Musalia Mudavadi, ameonya kwamba serikali inapinga kuwatumbukiza wakenya kwenye lindi la umaskini kupitia sheria kandamazi za utozaji ushuru, zinazotarajiwa kutungwa hivi karibuni.