18th May, 2018
Gavana wa kaunti ya Nairobi Mike Sonko amesema kuwa haogopi kubanduliwa kutoka kwa kiti cha ugavana .Sonko amesema semi za kutaka kumuodoa ni vitisho tu .katika mahojiano ya kipekee na runinga ya ktnnews sonko amesema kuwa ana haki ya kumteua yeyote anayetaka kuwa naibu wake .Gavana sonko alimteua Miguna Miguna kama naibu wake lakini uteuzi huo umepata pingamizi si haba .