HABARI ZA HIVI PUNDE:Rais Uhuru ahudhuria maombi ya wahanga wa Solai
16th May, 2018
Rais Uhuru Kenyatta ahudhuria maombi ya wahanga wa Solai ambapo watu Zaidi ya 40 waliangamia baada ya kusombwa na maji. Hii ni baada ya bwawa Patel kuvunja kingo zake