16th May, 2018
Hali duni katika wadi ya akina mama ya kujifungua katika hospitali ya Mbagathi. Sasa imesababisha akina mama wanaotaka kujifungua kufukuzwa huku wafanyakazi wakisistiza kwamba halihiyo ni hatari inayosubiri kulipuka mwanahabari Sycilia wakesho anaripoti kwamba japo hawakuruhusiwa kuzuru wadi hizo, idadi kubwa ya akina mama wajawazito waliotaka kujifunguliwa kwenye hospitali hiyo wamefukuzwa tangia jumatatu wiki hii.