Mwanamume mmoja amtaka afisa wa maslahi ya watoto kumuachilia mtoto wake aliyeuzwa Uganda.
16th May, 2018
Mwanamume wa umri wa makamo huko Thika namtaka afisa wa kushughulikia maslahi ya watoto Lynn Mwangi kumuachilia mtoto wake wa umri wa miaka 7 anayesemekana kuuzwa Uganda katika biashara haramu ya bianadamu.