.
14th May, 2018
Baraza la magavana limetia saini mkataba wa utendakazi na madaktari kutoka Cuba ambao wanatarajiwa kufanya kazi nchini baada ya Rais Uhuru Kenyatta kukuabaliana na utawala wa nchi hiyo. Awali madaktari wa Kenya walikuwa wamepinga mpango huo wakisema hauafikiani na desturi za kutoa tiba nchini