Hull city yalaza Gor Mahia mabao 4-3 kupita mikwaju ya penalti.
13th May, 2018
Timu ya Hull city ilipata ushindi dhidi ya mabingwa wa ligi ya humu nchini gor mahia kwenye mechi ya kirafiki iliyochezwa katika uwanja wa Kasarani jijini Nairobi . Hull ilishinda mechi hiyo mabao 4 3 kupita mikwaju ya penalti