13th May, 2018
Idadi ya waliofariki kwenye mkasa wa bwawa la Solai katika kaunti ya nakuru, sasa imefika watu 48 bada ya miili zaidi kupatiakana .Taarifa ya shirika la msalaba mwekundu inasema watu zaidi ya thelathini wameokolewa kufuatia operesheni ya pamoja iliyohusisha serikali ya kaunti na wadau wengine. Bwawa hilo lilipasuka jana usiku na maji kusomba vijiji vilivyokuwa karibu . Shughuli za kuwaokoa wenyeji zinaendelea