Wakazi wa Lamu wakosa makao kutokana na mvua kubwa ambayo imesababisha mafuriko
5th May, 2018
Zaidi ya familia elfu tatu katika kaunti ya lamu zimeachwa bila ya makao baada ya nyumba zao kusombwa kwa mafuriko. Vijiji vya dide, waride na chalaluma vimefunikwa kwa maji baada ya mito Tana na Nyongoro kuvunja kingo zao