4th May, 2018
Watu tisa wamefariki baada ya kusombwa na maji ya mafuriko usiku wa kuamkia leo eneo la Kandisi kaunti ya kajiado. miili ya watu 6 ilipatikana nampema leo na miili mingine 3 kupatikana jioni ya leo na kama anavyoripoti Nicholas Wambua, shirika la msalaba mwekundu limesema tangu mvua ya msimu huu kuanza, watu 112 wamefariki