4th May, 2018
Kuwepo kwa bango kubwa la kibiashara lililoandikwa kwa lugha kichina Nairobi kumezua gumzo na lalama baadhi ya watu wakisema ukoloni unarejea. Imeibuka kuwa bango hilo limeondolewa lakini bodi ya kuthibiti filamu nchini inashikilia kuwa mabango aina hiyo ni uchokozi kwa uma.