.
30th April, 2018
Kwa juma la pili sasa miili ya watu watano waliosombwa na mafuriko katika mto Enziu eneo la Mwingi East haijapatikana.Sasa viongozi wa eneo hilo wanaitaka serikali ya kitaifa kubuni kundi maalum la kushughulikia dharura litakalojizatiti kutafuta miili ya watu hao. Aidha wanataka mikakati ya msaada kwa waathiriwa wa mafuriko huku athari zake zikiendelea kushuhudiwa sehemu nyingi za kaunti ya Kitui