Serikali yatangaza kuongeza juhudi za uokozi na misaada mingine kwa wakenya wanaoathirika na mafurik
27th April, 2018
Serikali imetangza kuongezwa kwa juhudi za uokoaji kwa wakenya wanaotatizika na mafuruiko. Waziri wa ugatuzi Eugene Wamalwa ameyasema hayo katika kaunti ya Garissa.
Katika kaunti ya Kilifi , watu 3000 wameokolewa katika maeneo yaaliyoathirika .