×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wizara ya Kilimo na maji yazindua halmashauri ya uvunaji maji na kudhibiti mafuriko

27th April, 2018

Wizara ya kilimo na maji sasa imebuni halma shauri ya kitaifa itakayotwikwa jukumu la kusimamia uvunaji wa maji sawa na kudhibiti mafuriko yatokanayo na mvua ya masika. 

Waziri wa maji Simon Chelugui ambaye amewarai wananchi kujihami kwa vifaa vya kuvuna maji hata hivyo amesistiza kwamba mgao wa maji jijini Nairobi utaendelea kushuhudiwa kutokana na upungufu wa maji kwenye bwawa la Ndakaini huku akishikilia msimamo kwamba kiwango cha chini cha mvua kwenye mlima aberdare ndicho chanzo cha upungufu wa maji ya kutosha kwenye bwawa hilo lililo na uwezo wa kushikilia  maji lita bilioni sabini kwa wakati mmoja.

.
RELATED VIDEOS