24th April, 2018
Katika sehemu yetu ya gumzo la kaunti hii leo tunaangazia mswada wa fedha za biashara kwa vijana na akina mama unaowasilishwa katika Bunge la Kaunti ya Elgeyo Marakwet.Mwanahabari Elvis Kosgei amezungumza na spika wa bunge hilo Philemon Sabulei kuhusu mswada huo anaouwasilisha katika Bunge la Kaunti hiyo