×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jukwaa la KTN: Miili ya waliosombwa na mafuriko Kinangop yatambuliwa

23rd April, 2018

Familia za watu watano kati ya saba waliokufa maji baada ya gari walimokuwa wakisafiria kusombwa na mafuriko huko Kinangop zinapanga mazishi ya wapendwa wao baada ya kutambua miili yao.Jamaa na marafiki walikongamana katika kijiji cha Maraigishu Kanjogo baada ya shughuli hiyo. Gari aina ya probox lililobeba watu 9 wakiwemo wanawake watatu walifariki jumapili baada ya mafuriko kusomba gari hilo katika barabara ya Maraigishu Githabai

.
RELATED VIDEOS