×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watu wanane wafariki kwenye ajali ya Kyumbi iliyohusisha matatu na lori

22nd April, 2018

Watu wanane wamefariki kufuatia ajali ya barabarani katika eneo la Kyumbi kwenye barabara kuu ya Nairobi   Mombasa.Ajali hiyo ilitokea mwendo wa saa nane alfajiri ya leo wakati matatu iliyokuwa ikisafiri kutoka eneo la loitoktok iligonga lori lililokuwa limeegeshwa. Abiria wengine wanne wamejeruhiwa vibaya na kukimbizwa 
hospitalini kwa matibabu.

.
RELATED VIDEOS