×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Biashara zatatizika baada ya wahudumu wa bodaboda kuandamana wakilalamikia kuuawa kwa mmoja wao.

21st April, 2018

Biashara zilitatizika katika mji wa Nyacheki katika kaunti ya Kisii wakati wenyeji  pamoja na wahudumu wa bodaboda walipoandamana wakilalamikia kuuawa  kwa mmoja wao inasemekana kuwa muhudumu huyo wa bodaboda alijaribu kukwepa kizuizi akiwa amebeba abiria wawili na mmoja wa wakusanya ushuru ambaye hakufurahishwa na mwenendo wa marehemu wa kukwepa kulipa shillingi kumi  aliitega  fimbo kwenye gurudumu la pikipiki na kusababisha pikipiki hiyo kugongana na nyingine kabla ya kubingiria

.
RELATED VIDEOS