21st April, 2018
Biashara zilitatizika katika mji wa Nyacheki katika kaunti ya Kisii wakati wenyeji pamoja na wahudumu wa bodaboda walipoandamana wakilalamikia kuuawa kwa mmoja wao inasemekana kuwa muhudumu huyo wa bodaboda alijaribu kukwepa kizuizi akiwa amebeba abiria wawili na mmoja wa wakusanya ushuru ambaye hakufurahishwa na mwenendo wa marehemu wa kukwepa kulipa shillingi kumi aliitega fimbo kwenye gurudumu la pikipiki na kusababisha pikipiki hiyo kugongana na nyingine kabla ya kubingiria