20th April, 2018
Baada ya kuandikisha historia ya kufuzu awamu ya makundi ya dimba la mashirikisho, Gor Mahia wanasubiri kujua wapinzani wao kwenye droo ambayo itafanyika hapo kesho, vigogo hao wa soka nchini waliwasili hapo jana. Ahmed Abulla aliwalaki katika uwanja wa ndege wa JKIA.