Wahathiriwa wa mafuriko kaunti ya Garissa wapata afueni kutoka benki ya Kiislamu FCS
20th April, 2018
Wahasiriwa wa mafuriko katika kaunti ya Garissa hii leo walipata afueni baada ya kupata misaada kutoka kwa wahisani. Zaidi ya watu 8000 wameachwa bila makao kufuatia mafuriko katika kaunti za Rana river na Garissa.