19th April, 2018
Makala ya sita ya mashindano ya michezo baina kaunti za humu nchini yataandaliwa huko kisii mwaka huu. Gavana wa Kisii James ongwae amechukua usukani huo kutoka kwa gavana wa machakos Alfred Mutua, kwenye mashindano ambayo yatawahusisha washindani wapatao elfu kumi mwaka huu.