19th April, 2018
Kituo cha biashara kilichopendekezwa kujengwa katika eneo la Naivasha kinanapangwa kukamilika mwishoni mwamwaka huu.
Gavana wa Nakuru Lee Kinyanjui amesema kwamba kituo hicho kitajengwa huko MaiMahiu ambapo wafanyikazi wapatao laki moja watapata ajira.