18th April, 2018
Je, una ufahamu wowote kuhusu umiliki wa nyumba ambazo mtu hununua na zilizo kwenye ghorofa? mwaka 1987, sheria kuhusu umiliki wa aina hii uliidhinishwa nchini kenya kushughulikia umiliki wa sehemu ya jengo kwa mfano nyumba moja kwenye orofa. Miaka 30 badaye, wakenya wengi hawafahamu sheria hii, wajenzi na wauzaji wa nyumba fulani wa kichukua fursa hii kuwalaghai wanunuzi.