17th April, 2018
Klabu ya Kisumu ya kupiga makasi imeiomba serikali kutlilia maanani mchezo huo kwa ajili ya kuhakikisha viwango vya mchezo huo vinapanda nchini.Klabu hiyo iliandaa mashindano ya mwaka huu ya eneo la ziwa Victoria ambayo yalijumuisha vilabu nne kutoka maeneo mbalimbali nchini.