Watu tisa wamefariki kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha jijini Dar es salaam nchini Tanzania
16th April, 2018
Watu tisa wamefariki kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha jijini Dar es salaam nchini Tanzania pia mvua hiyo imeharibu bara bara katika jiji hilo. Rajabu Hassan na maelezo zaidi kutoka Dar es salaam