16th April, 2018
Tunafuangua na taarifa ya kujiuzulu kwa makamishina watatu katika tume ya uchaguzi na mipaka, IEBC. makamishina Consolata Nkatha Bucha Maina, Margaret Wanjala Mwachanya na Paul Kibiwott Kurgat wametangaza kujiuzulu kwao mapema asubuhi ya leo, wakitaja uhusiano mbaya wa mazingira ya kazi ndani ya tume hiyo.