×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

HAKI Afrika yaishutumu serikali kwa kutotatua tatizo la ukosefu wa ajira nchini

14th April, 2018

Serikali  imetakiwa  kutatua  tatizo la  ukosefu wa ajira ambao  umesababisha ongezeko la  ukosefu wa usalama na kukiukwa kwa haki za kibinadamu. Wakizungumza mjini Nakuru wakereketwa wa haki za kibinadam kutoka shirika la haki afrika wamesema kuwa licha  ya visa vya ukiukaji wa haki wanasiasa  hawajali kushughulikia suala hilo na badala yake wanajipigia debe kwa uchaguzi wa 2022

.
RELATED VIDEOS