13th April, 2018
Kamati ya mawasiliano katika bunge la seneti imesema kuwa itahakikisha kwamba kila wadi nchini imefikiwa na mtandao .Akiungumza mjini kwale wakati wa uzinduzi wa kongamano , mwenyekiti wa kamati hiyo ambaye ni seneta wa baringo Gideon Moi amesema kuwa ni asilimia 92 ambao zina mtandao nchini