13th April, 2018
Tume ya huduma za mahakama JSC inanuia kujenga mahakama kuu ili kushughulikia mrundiko wa kesi katika kaunti ya transnzoia .kwa mujibu wa agrey muchelule ambaye ni mmoja wa makamishna wa tume hiyo,mahakama hiyo itagharimu shililngi millioni mia nne madhumuni yake yakiwa kutoa huduma bora kwa wakaazi wa kaunti ya Trans nzoia.mchelule amesema kuwa watajenga mahakama zaidi katika maeneo bunge ya Endembess , Kiminini na Cherangani katika kaunti ya Trans nzoia