×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakazi wa Thika waandamana wakilalamikia hali duni ya barabara

12th April, 2018

Wakazi wa Githima katika kaunti ndogo ya Thika mashariki walifanya maandamano na kufunga barabara eneo hilo wakilalamikia hali mbaya ya barabara. Maandamano hayo yalisababisha msongamano wa mamia ya magari aina ya lori. waandamanaji hao walilalamika kuwa licha ya wao kutozwa ada, hali ya barabara hizo imesahaulika. wanasema serikali ya kaunti inapata zaidi ya shilingi laki tatu katika ada wanazotozwa 
kwenye barabara hiyo na kuitaka kuingilia kati.

 

.
RELATED VIDEOS