.
11th April, 2018
Mwanamke mmoja ? mama ya watoto watano anaendelea
kupokea matibabu katika hospitali ya eneo la rift valley
baada ya kudaiwa kukatwa kwa panga na mumewe kufuatia
mzozo wa nyumbani mwanamke huyo mwenye umri wa
miaka 30 alifikishwa hospitalini akiwa na majerajha akisema
mzozo ulianza baada ya kukosa kumtimizia kindoa mumewe