.
11th April, 2018
Baadhi ya walimu kutoka kaunti za Kiambu, Murang’a na
Nairobi,sasa wanamtaka mbunge maalum na katibu mkuu wa
chama cha waalimu nchini KNUT Wilson Sossion kuondoka
ofisini walimu hao wanadai kwamba Sossion si mwalimu
tena baada ya tume ya tsc kufutilia mbali usajili wake.
waliongeza kwamba sossion amekiuka katiba kwa kujihusisha
na siasa. Walimu hao sasa wanamtaka naibu wa katibu mkuu,
hesborn omondi akabidhiwe majukumu ya katibu mkuu