.
11th April, 2018
Hisia zimetanda katika hospitali ya Narok wakati jamaa
walipofika kutambua miili ya jamaa zao kufuatia ajali ya hapo
jana iliyowaua watu 19 ajali hiyo ilitokea baada ya basi
walimokuwa kuanguka kwenye mto siyiatei katika barabara
kuu ya Narok ? Mai Mahiu. Baadhi ya waliojeruhiwa
wamezungumza kuelezea yaliyojiri kabla ya basi hilo kuingia
mtoni ambapo watu wengine zaidi ya 40 walipata majeraha