Mbiu ya Ktn full bulletin 2018/04/11-Ajali Mtoni Siyiapei
11th April, 2018
Wapendwa wa waliofariki katika ajali ya hapo jana katika
kaunti ya Narok ambapo watu 19 waliaga dunia baada ya basi
kutumbukia mtoni wanaendelea kufika katika chumba cha
kuhifadhia maiti kuitambua miili ya jamaa zao