×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wafanyikazi katika hospitali ya Kabazi katika eneo la Subukia kaunti ya Nakuru wafutwa kazi

10th April, 2018

Shughuli katika hospitali ya Kabazi katika eneo la Subukia kaunti ya Nakuru zimelemazwa baada ya wafanyikazi katika hospitali hiyo kuachishwa kazi ghafla.Kisa na maana mzozo baina yao na  msimamizi wa hospitali.Inadaiwa kuwa msimamizi  huyo Edward Omondi aliamua kuwafuta kazi vibarua  na kwenda likizo bila kutoa sababu. Wakazi wa eneo hilo sasa wanataka msimamizi huyo ahamishwe. 

.
RELATED VIDEOS