×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waziri wa Elimu Amina Mohamed asema mpango wa kuwatuma walimu katika kaunti ya Wajir unaendelea

10th April, 2018

Waziri wa elimu, Amina Mohamed amesema mpango wa kuwatuma walimu wengine katika kaunti ya Wajir unaendelea.Akizungumza alipofika mbele ya kamati ya bunge kuhusu elimu, Waziri Amina aliyekuwa ameandamana na afisa mkuu mtendaji wa tume ya TSC, Nancy Macharia, aliwaarifu wabunge kwamba walimu watakaotumwa katika kaunti ya Wajir, watahitajika kufanya kazi kwa miaka mitatu kabla ya kuhamishwa.Kwa upande wake, Nancy Macharia amesema uhaba wa walimu nchini umechangia matatizo yanayoikumba sekta ya elimu.

 

.
RELATED VIDEOS