×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jukwaa la KTN: Wasiwasi waibuka kuhusu ugonjwa wa homa ya Nyongo Voi

9th April, 2018

Wasiwasi umegubika kina mama katika hospitali ya rufaa ya Voi baada ya wanawake kulalamikia idadi kubwa ya watoto wanaozaliwa na ugonjwa wa homa ya Nyongo ya manjano.Huu ni ugonjwa unaoathiri maini na ambayo athari zake ni macho kuwa rangi ya njano.Baadhi yao wana wasiwasi kuwa huenda kukazuka homa hatari zaidi, watoto wengi wakiendelea kutibiwa katika hospitali hiyo.Hata hivyo,msimamizi wa hospitali hiyo ya Voi amesema ugonjwa unaoshuhudiwa kwa sasa unawapata watoto wengi na huisha kwa muda wa siku tatu.

.
RELATED VIDEOS