9th April, 2018
Mamia ya wafanyiakazi wa hoteli za kitalii katika miji ya Malindi na Watamu watapoteza kazi zao wiki hii baada ya hoteli nyingi kufungwa kufuatia msimu wa watalii kuisha.Hoteli ambazo zimefungwa ni zile zinazotegemea watalii wa kimataifa.