9th April, 2018
Mgomo katika vyuo vikuu vya serikali utaendelea. Viongozi wa vyama vya UASU na KUSU wamesisitiza kwamba serikali imebaki kimya kuhusu mkataba wa 2017/2021, shughuli vyuoni humo zitaendelea kukwama.Serikali imetakiwa kuwasilisha pendekezo la malipo yao.Miungano hiyo pia imekosoa serikali kwa kukosa kushiriki mazungumzo nao.Wahadhiri wameapa kufanya maandamano katika muda wa wiki mbili zijazo.