8th April, 2018
Bi Mandela anakumbukwa katika vita dhidi ya ubaguzi wa rangi Afrika kusini. Alitengana na Mandela mwaka 1992 na talaka hiyo kuhalalishwa 1996. Alitambuliwa pakubwa na chama tawala cha ANC ambacho si maarufu tu afrika kusini bali pia Afrika