7th April, 2018
Miili sita ya watu waliofariki kwenye ajali ya barabarani katika eneo la Mariakani imelazwa katika hifadhi ya maiti ya Mombasa.sita hao ni watoto watatu wa kati ya umri wa miaka miwili na sita na wanawake watatu walikuwa kwenye gari la aina ya nissan lililokuwa likielekea eneo la wundanyi kutoka Mombasa. Gari hilo liligongwa na lori lililokuwa likitoka Nairob