6th April, 2018
Imebainika kuwa kuna baadhi ya wakuu wa shule wanaokaidi agizo la wizara ya elimu la kutotoza karo kando na muongozo wa shilingi alfu 53 kwa kila mwaka. Lofty Matambo anaangazia kilio cha mzazi mmoja wa mtoto wa kidato cha pili kutoka shule ya upili ya Kanunga katika kaunti ya Kiambu.