1st April, 2018
Baadhi ya viongozi wa jamii ya waluhya wameazimia kubuni chama chao cha kisiasa kufikia mwaka wa 2022 ili kujisimamia kwenye uchaguzi mkuu ujao.
wakiongozwa na waziri wa ugatuzi eugine wamalwa, waziri wa michezo Rashid Echesa na kiranja wa bunge Benjamin Washiali, viongozi hao wameendelea kusisitiza umuhimu wa kuungana pamoja kama jamii na kuunda chama kimoja kitakachomtoa mgombea mmoja wa urais atakayepeperusha bendera kwa niaba ya jamii hiyo.