Wakenya washeherekea sikukuu ya pasaka maeneo mbalimbali nchini-Mbiu ya KTN
30th March, 2018
Wakristo kote nchini hii leo waliunagana katika kuadhimisha ijumaa njema siku ambayo yesu kristo alisulubiwa. Wakristo kutoka madhehebu mbalimbali ya makanisa hii leo walifanya sherehe hizo kwa misafara njiani na ibada.