29th March, 2018
Serikali ya tanzania ipo katika hatua za mwisho za utengenezaji wa mfumo wa kielekrotiki wa uondoshaji shehena bandarini, viwanja vya ndege vya kimataifa na katika milango ya mipaka ya nchi hiyo ikiwa ni lengo la kuboresha utendaji kazi na ufanisi katika biashara na usafirishaji baina ya taifa hilo na mataifa mengine ulimwenguni,